
The National Audit Office Tanzania (NAOT) and the Swedish National Audit Office (SNAO) in 26th February 2013 inked the third phase of National Audit Office Development Project (NAODP) to enhance the level of accountability, transparency and financial discipline in the use of public resources. The government of Tanzania (GoT), Swedish International Development Agency (SIdA) and… Read the full article.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) anapenda kuwaarifu wananchi wa Dodoma kuwa Mhe. Mizengo K. P. Pinda (MB) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa na zoezi la uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (NAOT) linalojengwa Mtaa wa Makore,… Read the full article.